Dele Alli akijipinda kuifungia kwa kichwa Tottenham Hotspur dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Manchester City leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Spurs limefungwa na Heung-Min Son dakika ya 77, wakati ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 49 na Kevin De Bruyne dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erst das U17-Derby, dann die Meisterschafts-Endrunde
-
Borussias U17 bestreitet am Samstag (13 Uhr) mit dem Duell gegen Schalke 04
das letzte Spiel der B-Junioren-Bundesliga West und hat schon das
Halbfinale um...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment