Refa Mike Dean akimuonyesha kadi nyekundu winga wa Manchester United, Ashley Young baada ya kumchezea rafu Diogo Jota wa Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Mabao ya Wolverhampton yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 25 na Chris Smalling aliyejifunga dakika ya 77, wakati la Man United lilifungwa na Scott McTominay dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dak Prescott 'will not face sexual assault charges as Dallas police are not
pursuing the allegations due to lack of evidence'
-
Victoria Baleigh Shores accused the quarterback of sexually assaulting her
in the back of an SUV in the parking lot of a Dallas strip in 2017
following his...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment