Refa Mike Dean akimuonyesha kadi nyekundu winga wa Manchester United, Ashley Young baada ya kumchezea rafu Diogo Jota wa Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Mabao ya Wolverhampton yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 25 na Chris Smalling aliyejifunga dakika ya 77, wakati la Man United lilifungwa na Scott McTominay dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Barcelona keep close eye on Harry Kane contract talks with Bayern Munich -
with the England captain seeking a three-year deal to stay in Germany
-
SIMON JONES: Kane is understood to want a three-year deal and, as Daily
Mail Sport revealed earlier this summer, Barca have made their interest
known.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment