Refa Mike Dean akimuonyesha kadi nyekundu winga wa Manchester United, Ashley Young baada ya kumchezea rafu Diogo Jota wa Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Mabao ya Wolverhampton yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 25 na Chris Smalling aliyejifunga dakika ya 77, wakati la Man United lilifungwa na Scott McTominay dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL star dies at 51, decades after career was cut short by spinal injury
that led him to discover yoga
-
The All-American Texas A&M linebacker would go undrafted in 1997 before
signing with the New Orleans Saints and going on to a Pro Bowl career in
the NFL.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment