Luis Suarez akiwa amemkumbatia mchezaji wa Villarreal, Santi Cazorla baada ya Nyota wa Uruguay kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 90 na ushei ikitoa sare ya 4-4 na wenyeji wao hao katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ceramica mjini Villarreal. Mabao mengine ya Barcelona yalifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 12, Malcom dakika ya 16 na Lionel Messi dakika ya 90, wakati ya Villarreal yalifungwa na Samuel Chimerenka Chukwueze dakika ya 23, Karl Brillant Toko Ekambi dakika ya 50, Vicente Iborrasakika dakika ya 62 na Carlos Arturo Bacca dakika ya 80. Barcelona inafikisha pointi 70 baada ya sare hiyo katika mechi ya 30 na inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi nane zaidi yaa Atletico Madrid wanaofuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League club whose fans will have to fork out nearly
£5,000 to follow their team this season - as staggering new data reveals
where every side ranks, with surprise No 1
-
New data has revealed that it could cost £5,000 to follow the most
expensive team in the Premier League this season home and away - and that's
a conservati...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment