Lionel Messi (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifngia bao la pili Barcelona dakika ya 86 kufuatia Luis Suarez kufunga la kwanza dakika ya 85 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Sasa Barcelona inaongoza La Liga kwa pointi 11 zaidi ya Atletico Madrid wanaofuatia kwenye msimamo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inter Milan agree deal to sign Curtis Jones from Liverpool
-
Inter Milan are on the verge of signing Liverpool midfielder Curtis Jones
after a summer-long back and forth.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment