Lionel Messi (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifngia bao la pili Barcelona dakika ya 86 kufuatia Luis Suarez kufunga la kwanza dakika ya 85 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Sasa Barcelona inaongoza La Liga kwa pointi 11 zaidi ya Atletico Madrid wanaofuatia kwenye msimamo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo sticks with Saudi: Football superstar's club issue update
after his £61m private jet flew out to Madrid amid imminent attacks
-
Cristiano Ronaldo is still in Saudi Arabia and was pictured with his
Al-Nassr team-mates on Tuesday, ending speculation that he fled the Middle
East amid t...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment