Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 59 na 81 Real Madrid ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Eibar usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kwenye mchezo wa La Liga. Bao la Eibar lilifungwa na Marc Cardona dakika ya 39 na sasa Real Madrid inazidiwa pointi 13 na vinara, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal make decision over Ethan Nwaneri's future amid interest from Fulham
and Everton - after star was left out of Community Shield squad
-
SIMON JONES: Premier League clubs such as Fulham and Everton have checked
on the 19-year-old earlier in the summer while RB Leipzig are among a raft
of Eur...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment