Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 59 na 81 Real Madrid ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Eibar usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kwenye mchezo wa La Liga. Bao la Eibar lilifungwa na Marc Cardona dakika ya 39 na sasa Real Madrid inazidiwa pointi 13 na vinara, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police neutralize 3 suspected kidnappers, rescue abducted victim in Oyo
-
From Taiwo Oluwadare, Ibadan The Oyo State Police Command has announced the
neutralization of three suspected kidnappers and the rescue of an abducted
vi...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment