Mohamed Salah akifurahia na Roberto Firmino baada ya wote kuisaidia timu yao, Liverpool kushinda 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Firmino alifunga bao la kwanza dakika ya 16 na Salah akasababisha bao la pili ambalo Toby Alderweireld alijifunga dakika ya 90 wakati bao la Spurs lilifungwa Lucas Moura dakika ya 70. Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 79 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England sasa ikiizidi Manchester City pointi mbili ingawa imecheza mechi moja zaidi, wakati Spurs inabaki na pointi zake 61 sasa ikilingana na Manchester United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What happens when Man United finally win five in a row? Viral fan reveals
his plans to stay relevant once his haircut challenge is ended by the Red
Devils
-
Frank Ilett - better known as The United Strand - has been growing out his
now-mop-like hair since October 2024, a period during which United have
failed t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment