Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Real Madrid bao la ushindi dakika ya 89 ikiilaza Huesca 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Isco dakika ya 25 na Dani Ceballos dakika ya 62, wakati ya Huesca yalifungwa na Juan Hernandez dakika ya tatu na Etxeita dakika ya 74. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 57 baada ya kucheza mechi 29, ingawa inabaki nafasi ya tatu, sasa ikizidiwa pointi mbili na Atletico Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Would you pay £135 for Centre Court tickets then leave to watch the World
Cup? How Wimbledon reacted to England's dramatic win over DR Congo
-
For anyone wandering past Henman Hill at a little after 5pm, they never
would have guessed that Brian Cipenga had just scored. Few gasps, few
groans, few c...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment