Mshambulijai Robert Lewandowski akiwa ameshika taji la Super Cup ya Ujerumani baada ya kufunga mabao matatu dakika za 21, 26 na 54 katika ushindi wa 5-0 wa Bayern Munich dhidi ya Eintracht Frankfurt jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt akiiwezesha Bavarians kushinda taji la tatu mfululizo. Mabao mengine ya Bayern Munich inayobeba Super Cup ya Ujerumani kwa mara ya tatu mfululizo yamefungwa na Kingsley Coman dakika ya 63 na Thiago Alcântara dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Players told LIV Golf to run 'for many years' amid collapse rumours
-
Sergio Garcia says LIV Golf's players were told earlier this year the event
would run for "many years" as rumours swirl the Saudi-backed venture is on
the ...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment