Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris St Germain bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Caen kwenye mchezo wa kwanza wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Neymar ameichezea kwa mara ya kwanza PSG tangu alipoumiwa Februari mwaka huu na mabao mengine ya timu hiyo yamefungwa na Adrien Rabiot dakika ya 35 na Tim Weah dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Exactly what Harry Maguire said to fourth official in eight-word
f-bomb tirade to be slapped with extra one-game ban for Man United's trip
to Chelsea
-
The reasons why Harry Maguire has been given an extra one-game ban
following his red card at Bournemouth last month can be revealed, after the
FA released ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment