Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris St Germain bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Caen kwenye mchezo wa kwanza wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Neymar ameichezea kwa mara ya kwanza PSG tangu alipoumiwa Februari mwaka huu na mabao mengine ya timu hiyo yamefungwa na Adrien Rabiot dakika ya 35 na Tim Weah dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves' Anthony Edwards Hails Nikola Jokić as 'Best Player in the World'
After G1 Win
-
Anthony Edwards had high praise for Nikola Jokić after the Minnesota
Timberwolves beat the Denver Nuggets in Game 1 of the Western Conference
Semifinals on…
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment