Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Sevilla jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger mjini Tanger, Morocco. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Gerard Pique 42 na Ousmane Dembele dakika ya 78, baada ya Pablo Sarabia kutangulia kuifungia Sevilla dakika ya tisa tu. Kipa wa Barca, Marc-Andre ter Stegen akaokoa penalti ya dakika ya mwisho ya Wissam Ben Yedder kuihakikishia Barca taji la kwanza la msimu katika ardhi ya Afrika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Conor McGregor sends Ryan Garcia X-rated threat and tells boxer to 'get
your head together or kill yourself' after positive drugs test
-
Garcia failed anti-doping tests the day before and the day of his upset win
over Devin Haney last month. The 25-year-old tested positive for the
performanc...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment