Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger akisikitikia kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Manchester City ya kocha Mspaniola, Pep Guardiola usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates London. Hiki ni kipigo cha pili mfululizo Man City wanaipa Arsenal ndani ya siku tano baada ya Jumapili kuifunga 3-0 katika fainali ya Kombe la Ligi England Uwanja wa Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Leeds - FA Cup LIVE: Callum McFarlane returns to dugout as
crisis-hit Blues face Daniel Farke's men in FA Cup semi-final
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Chelsea take on Leeds at Wembley in the FA Cup semi-final.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment