Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger akisikitikia kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Manchester City ya kocha Mspaniola, Pep Guardiola usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates London. Hiki ni kipigo cha pili mfululizo Man City wanaipa Arsenal ndani ya siku tano baada ya Jumapili kuifunga 3-0 katika fainali ya Kombe la Ligi England Uwanja wa Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shams: Giannis, Damian Lillard in Doubt for Bucks-Pacers Game 5 Due to
Injuries
-
The Milwaukee Bucks may be significantly shorthanded once again when they
take on the Indiana Pacers in Tuesday's Game 5 of their first-round playoff
series.…
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment