Nyota wa Manchester City, Leroy Sane akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 33 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Arsenal usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Man City ambayo Jumapili iliifunga 3-0 tena Arsenal katika fainali ya Kombe la Ligi Uwanja wa Wembley, yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 15 na David Silva dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
J.J. McCarthy Rumors: Vikings 'Extremely Wary About Rushing' QB After NFL
Draft 2024
-
The Minnesota Vikings will be cautious with quarterback J.J. McCarthy
throughout his rookie season. According to ESPN's Kevin Seifert, the
Vikings are…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment