// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
YANGA SC NA SAINT LOUIS KATIKA PICHA JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEYANGA SC NA SAINT LOUIS KATIKA PICHA JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akimuacha chini beki wa Saint Louis ya Shelisheli katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0
Beki Hassan Kessy wa Yanga, akienda chini baada ya kuangushwa na beki wa St Louis na kusababihsa penalti ambayo Mzambia Obrey Chirwa alikosa
Mfungaji wa bao pekee la Yanga, Juma Mahadhi (kulia) akipambana na mchezaji wa St Louis
Beki wa Yanga, Said Juma 'Makapu' akiwa juu kugombea mpira na mchezaji wa St Louis
Kiungo wa Yanga, Pius Buswita akimtoka mchezaji wa St Louis
Kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib akimtoka mchezaji wa St Louis
Beki wa Yanga, Gardiel Michael akimtoka beki wa St Louis jana
Kiungo wa Yanga, Emmanuel Martin akimpita beki wa St Louis jana
Kikosi cha Saint Louis Suns United katika picha ya pamoja kabla ya mechi jana
Kikosi cha Yanga kilichoshinda 1-0 kwa mbinde jana Uwanja wa Taifa
CAR Frustrate Mali in World Cup Qualifier
-
African giants Mali were left frustrated in their latest Group I 2026 FIFA
World Cup qualifier following a 0-0 stalemate with Central African Republic
at...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment