// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA SC NA SAINT LOUIS KATIKA PICHA JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA SC NA SAINT LOUIS KATIKA PICHA JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, February 11, 2018

    YANGA SC NA SAINT LOUIS KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akimuacha chini beki wa Saint Louis ya Shelisheli katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0 
    Beki Hassan Kessy wa Yanga, akienda chini baada ya kuangushwa na beki wa St Louis na kusababihsa penalti ambayo Mzambia Obrey Chirwa alikosa
    Mfungaji wa bao pekee la Yanga, Juma Mahadhi (kulia) akipambana na mchezaji wa St Louis
    Beki wa Yanga, Said Juma 'Makapu' akiwa juu kugombea mpira na mchezaji wa St Louis 
    Kiungo wa Yanga, Pius Buswita akimtoka mchezaji wa St Louis 
    Kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib akimtoka mchezaji wa St Louis 
    Beki wa Yanga, Gardiel Michael akimtoka beki wa St Louis jana 
    Kiungo wa Yanga, Emmanuel Martin akimpita beki wa St Louis jana 
    Kikosi cha Saint Louis Suns United katika picha ya pamoja kabla ya mechi jana
    Kikosi cha Yanga kilichoshinda 1-0 kwa mbinde jana Uwanja wa Taifa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA SAINT LOUIS KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top