Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Real Madrid dakika za 27, 37 na 80 ikishinda 5-2 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Lucas Vazquez dakika ya kwanza na Toni Kroos dakika ya 34, wakati ya Sociedad yalifungwa na Jon Bautista dakika ya 74 na Illarramendi dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heat pull off sensational record Big Bash chase
-
Centuries from Matt Renshaw and Jack Wildermuth help Brisbane Heat chase a
record 258 to beat Perth Scorchers in the Big Bash League.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment