Mshambuliaji Sergio Aguero baada ya kufunga mabao manne dakika za 48, 53, 77 na 90 katika ushindi wa 5-1 wa Manchester City dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya tatu, wakati la Leicester City limefungwa Jamie Vardy dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch the horrifying moment former international footballer, 33, is gunned
down at point blank range by two gunmen after he begs for mercy
-
WARNING GRAPHIC CONTENT: This is the horror moment Ecuador international
footballer Mario Pineida is shot dead alongside his companion at a
butcher's.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment