Mshambuliaji Sergio Aguero baada ya kufunga mabao manne dakika za 48, 53, 77 na 90 katika ushindi wa 5-1 wa Manchester City dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya tatu, wakati la Leicester City limefungwa Jamie Vardy dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United star 'could return to his former club' this summer after
revealing plans to leave Old Trafford
-
The 33-year-old is out of contract at Old Trafford in June and after
silence from the club about their plans for the future he is preparing to
seek a new c...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment