Makamu Mwenyekiti wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' (kulia) akiwa na viongozi wengine wa timu jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar wakati wa mchezo wa Kundi A Kombe la Mapinduzi dhidi ya Simba SC. Azam ilishinda 1-0
Kulia ni Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Hajji Sunday Manara akisalimiana na Rais wa heshima wa Azam FC, Jamal Bakhresa 'Bui'
Hapa Popat akiwa na mashabiki wa Azam FC wakati wanarejea Dares Salaam leo kutoka Zanzibar
Padres' Updated Lineup, Payroll After Reported Luis Arráez Trade with
Marlins
-
Luis Arráez is reportedly heading to the San Diego Padres after the Miami
Marlins traded him for reliever Woo-Suk Go and prospects Dillon Head, Jakob
Marsee,…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment