Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB) Boniface Wambura, akionyesha tuzo atakayokuwa akipewa Mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kutoka mfumo wa awali wa kupatiwa fedha pekee, Shi Milioni 1. Zoezi limefanyika ofisi za TFF, Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam na pia kuanzia sasa Mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu atakuwa anaptiwa king'amuzi cha Azam TV
'He wanted to take it' - Gabriel's first Arsenal penalty ends with
heartbreak
-
Gabriel's first penalty for Arsenal ends in heartache as his shootout miss
hands Paris St-Germain a second successive Champions League title.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment