Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB) Boniface Wambura, akionyesha tuzo atakayokuwa akipewa Mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kutoka mfumo wa awali wa kupatiwa fedha pekee, Shi Milioni 1. Zoezi limefanyika ofisi za TFF, Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam na pia kuanzia sasa Mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu atakuwa anaptiwa king'amuzi cha Azam TV
Dave Portnoy's March Madness 'over' already after backing surprise team in
First Four
-
While the first round of the NCAA men's tournament doesn't begin until
Thursday, there were two games of First Four action on Tuesday, including a
pair of ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment