Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester City sekunde ya 40 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Watford usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Christian Kabasele aliyejifunga dakika ya 13 na Sergio Aguero dakika ya 63, wakati la Watford alifunga Andre Gray dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Doting parents Wayne and Coleen Rooney watch son Kai, 16, make Old Trafford
debut - with Michael Carrick and Man United head honchos packing director's
box for U18s game
-
NATHAN SALT AT OLD TRAFFORD: Man United's new head coach headed out to
support the Under-18s in the FA Youth Cup against Derby County, with Rooney
alongsid...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment