Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester City sekunde ya 40 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Watford usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Christian Kabasele aliyejifunga dakika ya 13 na Sergio Aguero dakika ya 63, wakati la Watford alifunga Andre Gray dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The doctor 'empowering' England Women to success
-
England Women's doctor Ritan Mehta on how talking about periods, sports
bras and breast and pelvic floor health is improving the team's performance.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment