Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiilaza 2-1 Bristol City katika Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa Jumanne Uwanja wa Etihad. Timu hizo zitarudiana Januari 23 Ashton Gate mjini Bristol. Bristol walitangulia kwa bao la mkwaju wa penalti la Bobby Reid dakika ya 44 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na John Stones, kabla ya Kevin De Bruyne kuisawazishia City dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jae'Lyn Withers Announces Return to UNC for 2024-25 Season for Final Year
of CBB
-
North Carolina is getting another member of the 2023-24 ACC regular-season
championship team back for one more year. Forward Jae'Lyn Withers told CBS
Sports'…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment