Harry Kane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 63 na 65 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Wimbledon kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Wembley. Bao lingine la Spurs inayosonga mbele Raundi ya nne limefungwa na Jan Vertonghen dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag happy for outcast Sancho after Dortmund win
-
Manchester United manager Erik ten Hag says he is happy for Jadon Sancho
after his stellar Champions League performance for Borussia Dortmund.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment