Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akisalimiana na mwanamuziki nguli nchini, Nguza Viking (kushoto) leo Ikulu mjini Dar es Salaam. Kulia ni mtoto wa Nguza, Papii Kocha. Familia ya Nguza imefika Ikulu leo kumshukuru Rais Magufuli kwa kuwapa msamaha wa kifungo cha maisha jela Desemba 9, mwaka jana
Nguza Viking na wanawe wakifurahi leo Ikulu mjini Dar es Salaam
Papii Kocha akionyesha tattoo ya JPM (John Pombe Magufuli) aliyochora
Rais Magufuli katika picha ya pamoja na familia ya Nguza
Hapa ni wakati Nguza Viking na wanawe wanaingia Ikulu mjini Dar es Salaam
Hapa ni wakati wa mazungumzo yao Ikulu leo
Resurgent Daniel Ricciardo stuns the field in Miami with a result even the
Aussie himself couldn't believe
-
Daniel Ricciardo delivered an impressive performance at the Miami Grand
Prix, securing the fourth-fastest time in qualifying for Saturday's sprint
race
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment