Mabondia Meshack Mwankemwa (kushoto) wa Mbeya na Mbwana Matumla (kulia) wakionyeshana ufundi wa kutupiana makonde wakati wa mazoezi yao ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika Februari 5, mwaka huu Uwanja wa ndani wa Taifa, Dar es Salaam. Mwankemwa atapigana na Ramadhani Shauri na Matumla atamkabili na Suleiman Shaaban
'Indefensible' and 'unacceptable' - furious Rosenior questions Chelsea's
desire
-
Chelsea boss Liam Rosenior strongly criticises his players after they
suffer a fifth loss in a row without scoring for first time since 1912.
4 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment