Henrikh Mkhitaryan akishangilia na Juan Mata baada ya kuifungia Manchester United bao la kuongoza dakika ya 42 katika ushindi qwa 3-0 dhidi ya wenyeji Leicester City leo Uwanja wa Kings Power. Mabao mengine ta United yamefungwa na Zlatan Ibrahimovic dakika ya 44 na Mata dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Robert Kraft delivers message to Vladimir Putin over Super Bowl ring at Tom
Brady roast after Russian leader has held it for nearly two decades
-
It's been 19 years since one of the Super Bowl championship rings owned by
Robert Kraft was taken by Russian leader Vladimir Putin. Kraft hasn't
forgotten.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment