Kikosi cha Tanzania Stars ambacho kilikuwa hakishiriki ligi yoyote nchini, kabla ya mchezo wa Kombe la Washindi Afrika (sasa limeunganishwa na Kombe la CAF na kuwa Kombe la Shirikisho) dhidi ya Simba FC ya Uganda Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwaka 1999. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Tanzania Stars kutolewa kwa jumla ya mabao 3-2 baada ya awali kufungwa 2-1 mjini Kampala, Uganda. Kutoka kulia waliosimama ni Abdallah Msamba (marehemu), Alex Kajumulo, Twaha Hamidu na Sanifu Lazaro. Katikati kutoka kulia ni Zubery Katwila, Yussuf Macho, Mohammed Abubakar ‘Phantom’ na Issa Manofu na mbele kutoka kulia ni Thabit Bushako, George Masatu, Muhehe Kihwelo (marehemu), William Fahnbulllar na Malota Soma ‘Ball Jaggler’.
What happens when Man United finally win five in a row? Viral fan reveals
his plans to stay relevant once his haircut challenge is ended by the Red
Devils
-
Frank Ilett - better known as The United Strand - has been growing out his
now-mop-like hair since October 2024, a period during which United have
failed t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment