Nahodha wa Leicester City, Wes Morgan (wa pili kulia) wakiwa wameinua taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya England na kocha Claudio Ranieri (katikati) baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton Uwanja wa King Power leo. Mabao ya Leicester yamefungwa na baada ya ushindi wa 3-1 Jamie Vardy mawili moja kwa penalti, huku pia akikosa penalti moja na lingine Andy King, wakati la Everton limefungwa na Kevin Mirallas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bernhard Langer returns to the course just three months on from Achilles
rupture after seeking recovery advice from Aaron Rodgers
-
Golf legend Bernhard Langer returns to golf on Friday as part of the PGA
Tour Champions Insperity Invitational, three months after Achilles surgery
and see...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment