Kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto akimtoka beki wa Stand United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Kambarage, Shinyanga. Simba SC ilishinda 2-1
Wachezaji wa Simba SC wakiwa wamemuangukia mfungaji wa mabao yao yote mawili jana, Hamisi Kiiza 'Diego'
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib (kulia) akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Stand United
Mshambuliaji wa Simba SC, Hamisi Kiiza akipasua katikati ya wachezaji wa Stand United
Beki hodari wa Simba SC, Hassan Kessy akimfunga tela kiungo mkongwe wa Stand United, Amri Kiemba
Ibrahim Hajib wa Simba SC akipambana katikati ya wachezaji wa Stand United
0 comments:
Post a Comment