Baada ya kufanikiwa kwenye mauzo ya jezi zake, Mbeya City FC ya Mbeya iliyopanda Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara miaka mitatu iliyopita, sasa imeongeza bidhaa nyingine sokoni, amabyo ni vikombe vyenye nembo ya klabu, ambavyo tayari vinapatikana Mbeya yote na mikoa jirani. Ni fundisho lingine kwa klabu kongwe nchini, Simba na Yanga ambazo zimeshindwa kutumia fursa ya kuwa na mashabiki wengi kwa kujinufaisha kibiashara.
Kehl: „Großes Kompliment, wie wir in beide Richtungen gearbeitet haben“
-
Ein zufriedener Sportdirektor Sebastian Kehl sprach über das Hinspiel und
die Chancen am kommenden Dienstag in Paris. Er lobte die Kompaktheit in der
Manns...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment