Baada ya kufanikiwa kwenye mauzo ya jezi zake, Mbeya City FC ya Mbeya iliyopanda Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara miaka mitatu iliyopita, sasa imeongeza bidhaa nyingine sokoni, amabyo ni vikombe vyenye nembo ya klabu, ambavyo tayari vinapatikana Mbeya yote na mikoa jirani. Ni fundisho lingine kwa klabu kongwe nchini, Simba na Yanga ambazo zimeshindwa kutumia fursa ya kuwa na mashabiki wengi kwa kujinufaisha kibiashara.
Woman’s death following arrest by Edmonton police under investigation: ASIRT
-
The Alberta Serious Incident Response Team (ASIRT) is investigating the
death of a woman following an arrest by Edmonton police last month.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment