Baada ya kufanikiwa kwenye mauzo ya jezi zake, Mbeya City FC ya Mbeya iliyopanda Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara miaka mitatu iliyopita, sasa imeongeza bidhaa nyingine sokoni, amabyo ni vikombe vyenye nembo ya klabu, ambavyo tayari vinapatikana Mbeya yote na mikoa jirani. Ni fundisho lingine kwa klabu kongwe nchini, Simba na Yanga ambazo zimeshindwa kutumia fursa ya kuwa na mashabiki wengi kwa kujinufaisha kibiashara.
Patrice Evra puts his £3.5m five-bedroom Manchester mansion on the market -
but why is there a mural of a Man City legend on wall?
-
Manchester United legend Patrice Evra is selling his former home - which
features a mini mural of an arch-rival who once rented it.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment