Mshambuliaji wa Sunderland, Jermain Defoe akiitia misukosuko ngome ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Light. Sunderland imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Wahbi Khazri na kipa David de Gea aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa mpira wa kichwa wa Lamine Kone, wakati bao la Man United limefungwa na Anthony Martial PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eagles Rumors: WR John Ross to Attend Rookie Camp as Tryout; No. 9 Draft
Pick in 2017
-
John Ross, the No. 9 pick in the 2017 NFL draft, will attend the
Philadelphia Eagles rookie camp as a tryout, per NFL Network's Mike
Garafolo. Ross, a former…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment