Mshambuliaji wa Sunderland, Jermain Defoe akiitia misukosuko ngome ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Light. Sunderland imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Wahbi Khazri na kipa David de Gea aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa mpira wa kichwa wa Lamine Kone, wakati bao la Man United limefungwa na Anthony Martial PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs PSG - Champions League LIVE: Latest score, team news and
updates as Ousmane Dembele twists the knife for the visitors minutes after
Reds' penalty shout is overturned - and comeback hopes disintegrate at
Anfield
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Liverpool host PSG at Anfield in the second leg of their
Champions Leagu...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment