Mshambuliaji wa Sunderland, Jermain Defoe akiitia misukosuko ngome ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Light. Sunderland imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Wahbi Khazri na kipa David de Gea aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa mpira wa kichwa wa Lamine Kone, wakati bao la Man United limefungwa na Anthony Martial PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Teen chefs face off in national cooking competition
-
After a heated competition in Montreal over the weekend, a Winnipeg high
school is going home with a national cooking title. Five finalists battled
it out ...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment