Mshambuliaji wa Liverpool, Roberto Firmino akiifungia timu yake bao dakika ya 59 katika sare ya 2-2 na Sunderland kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Adam Lallana, wakati mabao ya Sunderland yamefungwa na Adam Johnson na Jermain Defoe PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rob Sand to rally in Iowa governor bid with Kentucky Gov. Andy Beshear as
Democrats eye a flip
-
DES MOINES, Iowa (AP) — Rob Sand will rally a crowd for the first time as
the official Democratic nominee for Iowa governor on Sunday, kicking off a
countd...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment