Robert Huth akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Leicester katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Leicester ambayo inazidi kupaa kileleni kwa kufikisha poiniti 53 za mechi 25, ikifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 48 za mechi 25 pia, limefungwa na Riyad Mahrez, wakati la Man City limefungwa Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: How Tiger Woods is supporting Vanessa Trump through cancer battle
from rehab in Europe
-
Woods, 50, is in Switzerland undergoing what is believed to be a 90-day
treatment plan after his arrest in late March near his home in Jupiter,
Florida for...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment