• HABARI MPYA

    Saturday, February 06, 2016

    LEICESTER CITY WAIFUMUA 3-1 MANCHESTER CITY, TENA ETIHAD

    Robert Huth akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Leicester katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Leicester ambayo inazidi kupaa kileleni kwa kufikisha poiniti 53 za mechi 25, ikifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 48 za mechi 25 pia, limefungwa na Riyad Mahrez, wakati la Man City limefungwa Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEICESTER CITY WAIFUMUA 3-1 MANCHESTER CITY, TENA ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top