Robert Huth akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Leicester katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Leicester ambayo inazidi kupaa kileleni kwa kufikisha poiniti 53 za mechi 25, ikifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 48 za mechi 25 pia, limefungwa na Riyad Mahrez, wakati la Man City limefungwa Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United fans fume on social media as they insist their side were
'ROBBED' of four potential penalties in disappointing 1-1 draw with Burnley
-
Erik ten Hag 's men failed to build on from their midweek win over
Sheffield United as they were held to a 1-1 draw by the Clarets, but fans
have been left...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment