Mshambuliaji Danny Welbeck akiichezea timu ya vijana ya Arsenal chini ya umri wa miaka 21 dhidi ya Brighton Uwanja wa Colney, London. Welbeck anayepambana kurudi uwanjani baada ya kuwa nje kwa mua mrefu akisumbuliwa na maumivu ya goti alicheza kwa saa moja U-21 ya Arsenal ikishinda 4-1, mabao yake yakifungwa na Reiss Nelson, Krystian Bielik, Stephy Mavididi na Ismael Bennacer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Little offence from Blue Jays in another loss to Rays
-
Toronto is 6 1/2 games out of the final AL wild card spot.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment