Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Willian (kushoto) akipongezwa na mchezaji mwenzake, Diego Costa baada ya kufunga katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Newcastle usiku wa Jumamosi Uwanja wa Stamford Bridge katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Costa, Pedro mawili na Bertrand Traore, wakati la Newcastle lilifungwa na Andros Townsend PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Najee Harris' 5th-Year Contract Option Declined by Steelers
-
The Pittsburgh Steelers will not pick up running back Najee Harris'
fifth-year option for the 2025 season, according to NFL insider Jordan
Schultz. The opt...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment