Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Willian (kushoto) akipongezwa na mchezaji mwenzake, Diego Costa baada ya kufunga katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Newcastle usiku wa Jumamosi Uwanja wa Stamford Bridge katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Costa, Pedro mawili na Bertrand Traore, wakati la Newcastle lilifungwa na Andros Townsend PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Does Israel’s ‘Yellow Line’ violate the Lebanon ceasefire?
-
The Israeli ‘Yellow Line’ in Lebanon raises fears that a temporary military
zone could become a longer-term occupation.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment