• HABARI MPYA

    Saturday, March 07, 2015

    MAN CITY YAMUAHIDI MAMBO KIBAO MAZURI YAYA TOURE AONGEZE MKATABA

    KLABU ya Manchester City ipo tayari kumpa ofa ya Ubalozi wa klabu, kiungo wake Yaya Toure atakapostaafu soka.
    Nahodha huyo wa Ivory Coast, amebakiza miaka miwili na nusu katika Mkataba wake wa sasa, lakini City inafungua mazungumzo ya kumuongezea Mkataba, kwa sasa akiwa analipwa Pauni 220,000 kwa wiki, na pia kumuahidi kazi nyingine atakapostaafu soka.
    Akiwa ana umri wa miaka 31, huo unatarajiwa kuwa Mkataba wa mwisho wa fedha nyingi kwa Toure.
    Manchester City are ready to offer Yaya Toure a role as a club ambassador when he retires from playing
    Manchester City ipo tayari kumopa Ubalozi wa klabu Yaya Toure atakapostaafu soka
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAMUAHIDI MAMBO KIBAO MAZURI YAYA TOURE AONGEZE MKATABA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top