• HABARI MPYA

    Friday, March 27, 2015

    FALCAO 'KIMEO' MAN UNITED AIPIGIA MBILI COLOMBIA IKISHIDA 6-0

    Radamel Falcao celebrates the second of his two goals for Colombia in their friendly against Bahrain
    Mshambuliaji wa Manchester United, Radamel Falcao akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Colombia ikiichapa 6-0 Bahrain katika mchezo wa kirafiki usiku huu. Falcao, ambaye hafanyi vizuri Man United anapocheza kwa mkopo kutoka Monaco ya Ufaransa, sasa amefikisha mabao 23 aliyoifungia Colombia katika mechi 55. Mabao mengine ya Colombia yamefungwa na Carlos Bacca, Adrian Ramos, Johan Mojica na Andres Renteria. Mara ya mwisho Falcao aliifungia Manchester United Januari 31.
    Out-of-favour Manchester United striker watches his first strike, a classy  volley, hit the bottom corner
    Mshambuliaji wa Manchester United akifunga bao lake la kwanza usiku huu

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3013552/Bahrain-0-6-Colombia-Radamel-Falcao-strikes-twice-striker-sends-message-Manchester-United-boss-Louis-van-Gaal.html#ixzz3VX1umYrK 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FALCAO 'KIMEO' MAN UNITED AIPIGIA MBILI COLOMBIA IKISHIDA 6-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top