Bondia Paul Butler wa Uingereza (kulia) akianguka chini baada ya kupigwa ngumi na Zolani Tete wa Afrika Kusini katika pambano la kuwania taji la dunia la IBF uzirto wa Super Fly usiku wa jana ukumbi wa Echo Arena mjini Liverpool, England. Zolani Tete alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya nane.
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2983644/Paul-Butler-KO-d-Zolani-Tete-world-super-flyweight-title-fight-Liverpool.html#ixzz3Tglczafh


.png)
0 comments:
Post a Comment