• HABARI MPYA

    Saturday, March 21, 2015

    MTOTO HUYU ATAKUJA KUPENDA TIMU NYINGINE TOFAUTI NA YANGA?

    Mpenzi wa Yanga SC, Yusuphed Mhandeni (kushoto) akiwa na binti yake. Rahma wakiingia Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam hivi karibuni katika mchezo dhidi ya Platinum Kombe la Shirikisho Afrika, ambao timu yake ilishinda 5-1. Unadhani mtoto huyo akikua atapenda timu tofauti zaidi ya hiyo aliyorithishwa na baba yake? 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTOTO HUYU ATAKUJA KUPENDA TIMU NYINGINE TOFAUTI NA YANGA? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top