• HABARI MPYA

    Sunday, March 22, 2015

    EVERTON YASHINDA 2-1 UGENINI DHIDI YA QPR

    QPR keeper Rob Green (left) watches Coleman's rocket of a strike fly into the top corner as Everton went 1-0 up after 18 minutes
    Kipa wa QPR, Rob Green (kushoto) akichupa bila mafanikio kuzuia mchomo wa Seamus Coleman ukitinga nyavuni kuipatia Everton bao la kwanza dakika ya 18 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu. Everton ilishinda 2-1, bao lake lingine likifungwa na Aaron Lennon, huku bao la kufutia machozi la QPR likifungwa na Eduardo Vargas.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3006598/QPR-1-2-Everton-Aaron-Lennon-target-Seamus-Coleman-rocket-fires-Roberto-Martinez-s-close-Premier-League-safety.html#ixzz3V8racbZj 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EVERTON YASHINDA 2-1 UGENINI DHIDI YA QPR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top