• HABARI MPYA

    Sunday, March 08, 2015

    LIVERPOOL YABANWA NYUMBANI KOMBE LA FA NA BLACKBURN ROVERS

    Mario Balotelli came on in the second half for Liverpool but was unable to find a way through the Blackburn defence
    Mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli akimtoka beki wa Blackburn Rovers, Conway katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana Uwanja wa Ewood Park kusaka timu timu ya kwenda Nusu Fainali.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2985336/Liverpool-0-0-Blackburn-Underwhelming-Reds-held-Anfield-Gary-Bowyer-s-battling-Rovers-earn-FA-Cup-quarter-final-replay-Ewood-Park.html#ixzz3TpMFS5d3 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YABANWA NYUMBANI KOMBE LA FA NA BLACKBURN ROVERS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top