Mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli akimtoka beki wa Blackburn Rovers, Conway katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana Uwanja wa Ewood Park kusaka timu timu ya kwenda Nusu Fainali.
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2985336/Liverpool-0-0-Blackburn-Underwhelming-Reds-held-Anfield-Gary-Bowyer-s-battling-Rovers-earn-FA-Cup-quarter-final-replay-Ewood-Park.html#ixzz3TpMFS5d3


.png)
0 comments:
Post a Comment