![]() |
| Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akimtoka beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' |
![]() |
| Beki wa Yanga SC, Kevin Yondan akimdhibiti mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi |
![]() |
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Amisi Tambwe akipambana na beki wa Simba SC, Juuko Murushid |
![]() |
| Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngassa kulia, akimuacha chini Tshabalala wa Simba SC |
![]() |
| Wachezaji wa timu zote jana walishiriki kampeni ya kupiga vita mauwaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi, maarufu kama Albino |








.png)
0 comments:
Post a Comment