Mchezaji wa Tottenham, Harry Kane (kushoto) akiruka juu kupiga mpira kwa kichwa kumfungia kipa wa QPR timu yake ikishinda 2-1 dhidi ya wenyeji wao hao katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kane alifunga mabao yote ya Spurs, wakati bao la QPR lilifungwa na Sandro.
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2984118/QPR-1-2-Tottenham-Hotspur-Harry-Kane-scores-twice-Mauricio-Pochettino-s-men-hunt-four-spot.html#ixzz3Tj7I9oTR


.png)
0 comments:
Post a Comment