• HABARI MPYA

    Wednesday, February 11, 2015

    MRISHO NGASSA ALIVYOMTESA KIPA WA MTIBWA



    Video hii inamuonyesha Mrisho Ngassa alivyoifungia Yanga SC bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumapili akimtungua kipa Said Mohamed wa Mtibwa Sugar baada ya pasi ya Haruna Niyonzima. Yanga SC ilishinda 2-0, mabao yote akifunga Ngassa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MRISHO NGASSA ALIVYOMTESA KIPA WA MTIBWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top