Taulant Xhaka wa Basle (kushoto) akipambana na winga wa Porto, Yacine Brahimi katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya uliofanyika Uwanja wa Jacob Park usiku huu. Timu hizo zilitoka 1-1, Derlis Gonzalez akianza kuifungia Basle kabla ya Danilo kuisawazishia Porto kwa penalti baada ya Walter Samuel kuunawa mpira kwenye enero la hatari.
TIM HOWARD: I played 152 games with Mikel Arteta... the manager leading
Arsenal vs. Manchester City is not my friend. He has changed. He is no
longer the teacher's pet with special privileges - and that's a good thing
-
In his latest column for DailyMail.com, TIM HOWARD lifts the lid on the
real Mikel Arteta... and why Louis Rees-Zammit can thrive in the NFL, where
players...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment