Taulant Xhaka wa Basle (kushoto) akipambana na winga wa Porto, Yacine Brahimi katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya uliofanyika Uwanja wa Jacob Park usiku huu. Timu hizo zilitoka 1-1, Derlis Gonzalez akianza kuifungia Basle kabla ya Danilo kuisawazishia Porto kwa penalti baada ya Walter Samuel kuunawa mpira kwenye enero la hatari.
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
10 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment