• HABARI MPYA

    Thursday, February 19, 2015

    PORTO YAPATA SARE KWA BASLE LIGI YA MABINGWA

    Basle's Taulant Xhaka (left) fights for the ball against Porto winger Yacine Brahimi during the last-16 clash
    Taulant Xhaka wa Basle (kushoto) akipambana na winga wa Porto, Yacine Brahimi katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya uliofanyika Uwanja wa Jacob Park usiku huu. Timu hizo zilitoka 1-1, Derlis Gonzalez akianza kuifungia Basle kabla ya Danilo kuisawazishia Porto kwa penalti baada ya Walter Samuel kuunawa mpira kwenye enero la hatari.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2959216/Basle-1-1-Porto-Danilo-penalty-cancels-Derlis-Gonzales-strike-visitors-fight-draw-Champions-League-16-clash.html#ixzz3S8kAe8RE 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PORTO YAPATA SARE KWA BASLE LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top