YANGA SC WATUA SALAMA GABORONE, WAFIKIA OASIS HOTEL
Kocha Msaidizi wa Yanga SC, Charles Boniface Mkwasa (kulia) akiwa na wachezaji wake eneo la mapokezi katika hoyeli ya Oasis mjini Gaborone, Botswana mchana wa leo baada ya kuwasili kwa ajili ya mchezo wa marudiano, Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) utakaofanyika keshokutwa nchini humo. Yanga SC ilishinda 2-0 katika mchezo wa kwanza mjini Dar es Salaam.
Manchester United scrap end-of-season awards
-
Following a dismal season, Manchester United is said to have canceled plans
to throw an end-of-season awards ceremony. Despite the fact that COVID-19
manda...
MAELEZO Yakusanya Zaidi ya Milioni 354
-
Idara ya Habari – MAELEZO imekusanya jumla ya shilingi 354,190,750 sawa na
asilimia 199 katika mwaka wa fedha 2021/2022. Waziri wa Habari, Mawasiliano
na T...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni