Mshambuliaji mkongwe wa Atletico Madrid, Fernando Torres (kushoto) akigombea mpira na kiungo wa Bayer Leverkusen, Roberto Hilbert (kulia) katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu nchini Ujerumani. Leverkusen ilishinda 1-0, bao pekee la Hakan Calhanoglu dakika ya 12, ingawa Torres alifunga lililokataliwa zikiwa zimebaki dakika 15. Lakini Atletico inapewa nafasi ya kupindua matokeo hayo katikaa mchezo wa marudiano Vicente Calderon Machi 17 na kwenda Robo Fainali ya michuano hiyo.
Fernando Alonso responds to suggestions Taylor Swift took a jab at him in
her new album The Tortured Poets Department by featuring in hilarious
TikTok after rumoured romance
-
Prior to Swift's current relationship with American football star Travis
Kelce , she was rumoured to be dating Alonso, who drives for Aston Martin.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment