Mshambuliaji mkongwe wa Atletico Madrid, Fernando Torres (kushoto) akigombea mpira na kiungo wa Bayer Leverkusen, Roberto Hilbert (kulia) katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu nchini Ujerumani. Leverkusen ilishinda 1-0, bao pekee la Hakan Calhanoglu dakika ya 12, ingawa Torres alifunga lililokataliwa zikiwa zimebaki dakika 15. Lakini Atletico inapewa nafasi ya kupindua matokeo hayo katikaa mchezo wa marudiano Vicente Calderon Machi 17 na kwenda Robo Fainali ya michuano hiyo.
American sprint star Noah Williams slams Gout Gout for 'soft' move ahead of
Diamond League debut
-
Teen track star Gout Gout has been called 'soft' by American sprinter Noah
Williams just days before his highly anticipated Diamon League debut.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment