• HABARI MPYA

    Sunday, February 22, 2015

    REFA AMUOKOA BONDIA WA UINGEREZA NA KICHAPO ZAIDI KUTOKA KWA GOLOVKIN


    The bloodied face of Martin Murray contorts as Gennady Golovkin connects with another barrage of brutal punches to rock the Briton

    Uso unaotoka damu wa Martin Murray ukipokea konde la Gennady Golovkin katika pambano la uzito wa Middle, Monte Carlo usiku wa kuamkia leo. Golovkin alishinda kwa Technical Knockou (TKO) baada ya refa Luis Pabon kusimamisha pambano raundi ya 11, kumnusuru mpinzani wake. 
    The baby-faced fighter from Kazakhstan made it 32 wins from 32 fights with another dazzling display to showcase his incredible talents
    Kwa ushindi huo wa 32 katika mapambano 32 kwa bondia huyo wa Kazakhstan dhidi ya Muingereza, Golovkin amefanikiwa kutetea taji lake la WBA uzito huo.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2963432/Gennady-Golovkin-stops-Martin-Murray-11th-round-unbeaten-GGG-defends-WBA-middleweight-title-against-brave-Brit.html#ixzz3SRLjrhTs 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REFA AMUOKOA BONDIA WA UINGEREZA NA KICHAPO ZAIDI KUTOKA KWA GOLOVKIN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top