• HABARI MPYA

    Friday, February 27, 2015

    WAZIRI WA KIKWETE ATUA SUDAN KUIPA ULINZI AZAM FC

    Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo, Alhaj Juma Nkamia (kushoto) akizungumza na wachezaji wa Azam  FC mazoezini Uwanja wa Jeshi mjini Khartoum, Sudan usiku wa jana. Anayezungumza naye kulia ni mshambuliaji Mrundi, Didier Kavumbangu. Azam FC watacheza na wenyeji El Merreikh kesho mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika. Mechi ya kwanza, Azam FC ilishinda 2-0 Dar es Salaam.
    Wachezaji wa Azam FC wakifanya mazoezi mepesi Sudan jana
    Kocha wa makipa, Iddi Abubakar kulia na vijana wake wakifanya dua
    Wachezaji wa Azam FC wakiteremka kwenye basi wanalotumia mjini Khartoum ambalo wanajilipia wenyewe baada ya kukataa basi walilopewa na wenyeji wao

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAZIRI WA KIKWETE ATUA SUDAN KUIPA ULINZI AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top