![]() |
Wachezaji wa Azam wakijiandaa kwa mazoezi jana |
![]() |
Makocha wa Azam FC kutoka kushoto, George 'Best' Nsimbe (Msaidizi), Joseph Marius Omog (Mkuu), Ibrahim Shikanda (Msaidizi wa pili) na Iddi Abubakar wa makipa wakiwa katika kikao |
![]() |
Wachezaji wakifanya mazoezi mepesi Uwanja wa Jeshi |
![]() |
Beki tegemeo la timu, Aggrey Morris akijiandaa |
![]() |
Wachezaji wanaaonekana wapo katika hali nzuri kuelekea mchezo huo |
0 comments:
Post a Comment