// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AGUERO AJITIA PINGU NZITO MAN CITY - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AGUERO AJITIA PINGU NZITO MAN CITY - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, August 15, 2014

    AGUERO AJITIA PINGU NZITO MAN CITY

    KLABU ya Manchester City imewekeza jumla ya Pauni  Milioni 175 kikosini make ndani ya siku nne, kufuatia mshambuliaji Sergio Aguero kuaini Mkataba mpya wa miaka mitano na mabingwa hao wa Ligi Kuu ya England Alhamisi usiku.
    Mshahara mpya wa Aguero wa Pauni 150,000 kwa wiki umethibitishwa baada ya kusainishwa pia mikataba mipya kwa kiungo David Silva na beki Vincent Kompany ambao watadumu Etihad hadi mwaka 2019. City iliianza wiki kwa kutoa Pauni Milioni 32 kumsajili beki wa FC Porto, Eliaquim Mangala anayeweka rekodi ya beki ghali katika historia ya soka ya Uingereza.
    Bado yupo sana Etihad: Sergio Aguero amesaini mkataba mpya Manchester City wa miaka mitano
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AGUERO AJITIA PINGU NZITO MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top