• HABARI MPYA

    Saturday, November 16, 2013

    PIGO TENA MAN UNITED 'YARABI', WELBECK NAYE KISU CHAMSUBIRI

    KLABU ya Manchester United lazima iamue kumpeleka Danny Welbeck kufanyiwa upasuaji wa goti ambao utamuweka nje mshambuliaji huyo wa England kwa wiki nyingine tano.
    United tayari inamkosa kiungo Michael Carrick, ambaye atakuwa nje hadi Krisimasi kwa majeruhi.
    Majeruhi: Danny Welbeck atalazimika kufanyiwa upasuaji wa goti ambao utamuweka nje kwa wiki nyingine tano
    Blow for United: Michael Carrick is sidelined until Christmas with an achilles injury
    Pigo United: Michael Carrick atakuwa nje hadi Krisimasi kwa majeruhi

    Matatizo yanayomsumbua Welbeck tayari yamemfanya amekosa mechi sita zilizopita za United. 
    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 anapatiwa matibabu yanayompa matumaini anaweza kuepuika upasuaji, lakini United inahofia italazimika kumpeleka kwenye upasuaji ikiwa hali yake haitaimarika.
    Welbeck amekwishafanyiwa upasuaji wa goti mara mbili. Marouane Fellaini pia anaweza kuwa nje kwa wiki hadi 10 atakapofayiwa upasuaji wa mguu wake wa kulia.
    Stroll: Carrick walked all 18 holes at the DP World Tour Championship in Dubai
    Carrick alikwenda kwenye ziara ya mashindano ya dunia ya DP Dubai
    Michael Carrick
    Michael Carrick
    Carrick aliungana na Caroline Wozniacki kumtazama Rory McIlroy akicheza
    Crunch time: David Moyes will be without Carrick and possibly Welbeck for games with Spurs and Everton
    David Moyes atawakosa Carrick na Welbeck katika mechi na Spurs na Everton
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PIGO TENA MAN UNITED 'YARABI', WELBECK NAYE KISU CHAMSUBIRI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top