Bendi ya High Class ya mjini tunduma ikutumbuiza wapenzi wa kampeni ya nani mtani jembe katika bonanza lililo fanyika mwishoni mwa wiki kwenye uwanja wa shule ya msingi tunduma.
Mashabiki wa Simba wakifurahia kampeni ya nani mtani jembe katika bonanza lililo jaa mashaiiki lukuki mjini tunduma.
Mgeni rasimi mkuu wa Wilaya ya Momba Abihud Saidea akifungua michezo ya bonanza katika uwanja wa shule ya msingi tunduma mbele yake kukiwa na kamba ya kuvuta kamaishara ya uzinduzi.
Mashabiki wa Simba wakifurahia kampeni ya nani mtani jembe katika bonanza lililo jaa mashaiiki lukuki mjini tunduma.
Mgeni rasimi mkuu wa Wilaya ya Momba Abihud Saidea akifungua michezo ya bonanza katika uwanja wa shule ya msingi tunduma mbele yake kukiwa na kamba ya kuvuta kamaishara ya uzinduzi.
| Simba na Yanga wakivutana kamba |
| Kikosi cha Simba |
| Kikosi cha Yanga |


.png)
0 comments:
Post a Comment